Doa la Ndoa

ARCHIVAL ENTRY

Doa la Ndoa na Hadithi Nyingine

Joy-rose Ochieng - Gitonga Brian

KES 700

THE WORK

Book Details

Doa la Ndoa na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi za kuvutia zilizoandikwa na waandishi ambao wamedhihirisha ukwasi mkubwa wa lugha ya Kiswahili pamoja na ustadi wa kuumudu utanzu wenyewe. Hadithi hizi zinawasilisha mitazamo tofauti kuhusu masuala mazito katika jamii kama vile ajira, mapenzi, ndoa, unafiki, usaliti na tamaa ya mali. Zinaangazia mashaka tipitipi yanayowakumba vijana wa kiafrika na familia za kisasa, zikibainisha uhalisia wa maisha ya binadamu. Kitabu hiki kimejumuisha simulizi zilizosheheni taharuki ya kusisimua, uwezo wa kubana matukio, mwondoko wa haraka, na ucheshi wa aina yake. Ni kazi inayowalenga wapenzi wa fasihi ya Kiswahili wanaotamani kuzamia masuala muhimu katika maisha ya kila siku kwa mtazamo wa kiafrika.

LEA Publishers

SPECIFICATIONS

Technical Registry

01. Binding
Perfect
02. ISBN
978-9914-9837-0-8
03. Page Count
108 Pages
04. Language
English (EN)

ARCHIVE DATA

Collection Record

01. Author
Joy-rose Ochieng - Gitonga Brian
02. Category
Hadithi Fupi
03. Status
In Archive
04. Acquisition
700